Thursday, 27 February 2014

MKOA WA IRINGA WATIKISWA KATIKA PASAKA 2013 NA UIMBAJI WA ROSE MUHANDO

Rose Muhando alikuwa gumzo mjini Iringa kwa uimbaji wake. Mkoa wa Iringa ulifurahishwa na huduma ya mwimbaji huyu. Watu walifurika uwanjani mapema kuangalia kitimutimu cha waimbaji wa nyimbo za injili akiwemo Malkia wa Muziki wa Injili Tanzania Rose Muhando.

No comments:

Post a Comment