Tuesday, 12 August 2014

MFALME EDWARD ATANGAZA SIKU 10 ZA UKOMBOZI JIJINI ARUSHA NI KATIKA KANISA LA JCMI MOROMBO KUANZIA AUGUST 13.

MFALME EDWARD
 Mtumishi wa mungu Mfalme Edward ametangaza siku 10 za ukombozi jijini Arusha kwa kutoa semina ya neno la mungu itakayofanyika katika kanisa la JCMI ARUSHA lililopo kwa moromboo mwisho wa hiace kuanzia Tarehe 13/08/2014 mpaka tar 24/08/2014 saa 9 mchana mpaka saa 12..Watu wengi wameponywa kupitia maombia na wamefunguliwa kutoka vifungo mbalimbali
           Askofu wa makanisa ya JCMI ARUSHA  PAUL MACHA(pichani) atakuwepo kukuombea kwenye semina iyo..
                           JIONEE HAPA CHINI USHUHUDA WA WATU WALIOPONYWA

Monday, 11 August 2014

PICHA KAMILI UZINDUZI WA ALBUM YA KAMATA PINDO LA YESU YA ROSE MUHANDO JIJINI DAR ES SALAAM,,WAZIRI MSTAAFU AONYESHA USHIRIKIANO..

Angalia picha mablimbali za uzinduzi wa album ya malkia wa muziki wa injili nchini Rose Muhando iitwayo 'Kamata pindo la Yesu' iliyofanyika jumapili iliyopita katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam, chini ya Msama Promotions mgeni mwalikwa akiwa waziri mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tatu mheshimiwa Fredrick Sumaye. Ukitaka kuangalia video za namna uimbaji ulivyokuwa siku hiyo .

Jessica BM na kundi lake wakimsifu Mungu.
Haya sasa mambo yalinoga zaidi kama uonavyo.