|
MFALME EDWARD |
Mtumishi wa mungu Mfalme Edward ametangaza siku 10 za
ukombozi jijini Arusha kwa kutoa semina ya neno la mungu itakayofanyika
katika kanisa la JCMI ARUSHA lililopo kwa moromboo mwisho wa hiace
kuanzia Tarehe 13/08/2014 mpaka tar 24/08/2014 saa 9 mchana mpaka saa
12..Watu wengi wameponywa kupitia maombia na wamefunguliwa kutoka
vifungo mbalimbali
Askofu wa makanisa ya JCMI ARUSHA PAUL MACHA(pichani) atakuwepo kukuombea kwenye semina iyo..
JIONEE HAPA CHINI USHUHUDA WA WATU WALIOPONYWA
No comments:
Post a Comment