Tuesday, 4 March 2014

ASKOFU PAULO MACHA AKAMATA VIFAA VINAVYOSADIKIWA KUTUMIWA NA WACHAWI NA KUVITEKETEZA NA MOTO.

 Askofu Macha akiwaonyesha waumini wa kanisa la JCMI  wakati wa ibada  vitu vinavyosadikiwa kua ni vya kichawi vilivyotolewa kwenye nyumba ya mtu(jina tunalihifadhi)na hatimye mtu huyo kuamua kuokoka na kachana na mambo ya kishirikina.


                    Askofu Macha akijaribu kuvionyesha vitu ivyo
             Baadhi ya vitu vinavyosadikiwa ni vyakishirrikina

           Askofu Macha akizidi kuwaonyesha vitu ivyo

No comments:

Post a Comment