Karibu tukupe picha za awali za tamasha la
kimataifa la Pasaka kama ambavyo huwa linaandaliwa na kampuni ya Msama
Promotions. Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake vilipata fursa ya
kumsifu na kumuabudu Mungu kwa uimbaji, wakiongozwa na waimbaji nyota
barani Afrika. Kekeletso Phoofolo akiwa nahodha.
Kama kawaida ilikuwepo kwa ajili yako, kama ulitamani kuja
lakini hukufanikiwa, pengine ulikuwa 'Canada' au 'Benin', basi picha
hizi ni za awali, endelea kutembelea kwa ajili ya picha kedekede za
ziada na hata video za tukio hilo. Kama ulikuwepo, basi na tujikumbushe
na kisha utuandikie maoni ni muimbaji gani alikugusa sana kwenye tamasha
hilo.
![]() |
Ni mwendo wa mfululizo, wimbo hadi wimbo. Prophet Keke punde baada ya kupanda jukwaani |